Fasihi
Mhakiki ni nani?
Mhakiki ni mchambuzi na mfafanuzi wa maandishi ya kisanaa hasa yale ya kifasihi.
Mhakiki ni bingwa wa kusoma na kuchambua maudhui yaliyomo katika fasihi.
Yeye hujihusisha na maandishi ya waandishi asilia na kuangalia ni kwa jinsi gani mwandishi anawakilisha hali halisi katika jamii.
Yeye hushughulikia uwanja wa fasihi simulizi na fasihi andishi.