Ushairi
-
Penzi wangu usijali.
Maisha hapa chuoni, ni magumu mno sana Nafunga yangu machoni, ili kesho kuiona Sembe sukuma mezani, kutia tukizi sana Penzi…
Read More » -
Hadi connection.
Chuo nimeshahitimu, koneksheni ajira / Kitaa mambo magumu, huonekani ujira / Nazidi kosa stimu, kama tumbo la kuhara / Maisha…
Read More » -
MALIMWENGU
MALIMWENGU Jamani jama wandani, moyoni ninaumia, Naloa damu kwa ndani, lazma mle tagandia, Hata huku wajihini, kunyanzi yanivamia, Nitajifichia…
Read More » -
Yanga bingwa pinduzi.
***YANGA BINGWA MAPINDUZI*** ** * Paka havuki bahari, kwenda kuifunga Yanga / Katu hii siyo siri, kule Zenji wamelonga /…
Read More » -
Nampenda.
NAMPENDA😍😍😍 Nimezama mapenzini Na sitamani kutoka Nimempenda Fulani Na yeye ameridhika Hata mi mnipe nini Mimi kwake nimefika Nampenda kwelikweli…
Read More » -
Hana Taraka.
HANA TARAKA. Na tena mkitengana, hawara hana taraka, Wala hatongozwi tena, hawara ukimtaka, Tena mnapokutana, ya nyuma kuyakumbuka, Hana taraka…
Read More » -
Jitokeze nikuone.
JITOKEZE NIKUONE Yuko wapi nauliza, mwenye mapenzi ya dhati? Kipusa wa kupendeza, mtego kwa ‘tanashati? Asiyependa kuliza, na akipenda hasiti?…
Read More » -
Mapenzi yanaumiza.
MAPENZI YANAUMIZA Bora uchomwe na mwiba Ukitoa utapona Sio utoswe na huba Kwa yule mlopendana Ukamwita mahabuba Leo haunae mbona…
Read More » -
Kila la heri mwereni.
KILA LA HERI MWERENI Salamu zangu nawapa, kaka yenu muadhamu Niwambie pasi pupa, jambo lililo muhimu Mtihani si mfupa, kwenu…
Read More » -
Miezi tisa baadaye.
Umbali tuloutoka,ni neema zake Bwana, Ndiyo maana nataka,shuhuda ana kwa ana, Usiwahi kunicheka, labda tulipokezana, Masikio uyatege,kigoda ukikalia. Imekuwa unoita,miezi…
Read More »