Month: March 2020
-
Ushairi
Shairi la ukara.
ANGEKOSEKANA BABAKati ya walodunia, yupo ninamthamini,Asilimia ya mia, yake yashinda tisini,Yeye ninamsifia, ndiye wa kwangu mwandani,Je kweli tungezaliwa, kama hangekuwa…
Read More » -
Shairi la ukaraguni.
Tumekosa Nini? Mungu muumba dunia, mimea na wanadamu, Nimekuja nikilia, pasi kujali kaumu, Wewe ndiwe waridhia, pita nasi hali ngumu,…
Read More » -
Lugha na Sarufi
Aina Za Ndege.
Dudumizi/Shundi/Gude/Tipitipi-Huyu ni aina ya ndege asiyejenga kiota. Kanga-Huyu ni kuku wa porini aliye na madoadoa meupe. Kasuku-Ndege aliye na rangi…
Read More » -
Aina Za Wadudu.
Funza/Tekenya-Huyu ni mdudu anayefafana sana na kiroboto na ambaye hupenya ngozini na kutaga mayai. Nzige-Mdudu ambaye husafiri masafa marefu na…
Read More » -
Vipengele Vya Fani Katika Fasihi.
Mambo muhimu tunayohitaji kuzingatia tukiangazia fani ni kama yafuatayo. Mtindo-Huu ni utaratibu maalum ambao mtunzi wa kazi wa fasihi amefuata…
Read More » -
Lugha na Sarufi
Aina za Viambishi.
Kuna aina mbalimbali ya viambishi kama ifuatavyo. Viambishi awali-Hivi ni viambishi vinayopachikwa/kuambatanishwa kabla ya mzizi wa kitenzi.K.m a-na-pik-a.a-na ni viambishi…
Read More » -
Fani za Lugha Katika Fasihi.
Ni ufundi wa uteuzi wa maneno katika kupamba lugha inayovutia hisia mseto kwa msomaji/hadhira. Aina ya fani za lugha zinazotumika…
Read More » -
Fasihi
Fani za Uandishi/Kisanaa.
Hizi ni mbinu za Kiufundi zitumikazo na mwandishi/msimulizi wa kazi yoyote ya fasihi ambayo humlazimisha msomaji/hadhira kuisoma hadithi nzima ili…
Read More » -
NGELI YA KI-VI.
Hii ngeli husheheni maneno mengi ya lugha ya Kiswahili.Baadhi yazo ni yale yaliyowekwa katika udogo kwa kupachikwa kiambishi Ki mwanzoni…
Read More » -
Lugha na Sarufi
Aina za vihusishi.
Vihusishi ni aina ya maneno yanayoonyesha uhusiano baina/kati ya neno moja na jingine.Kuna aina mbalimbali za vihusishi kulingana na utendakazi…
Read More »