Month: January 2020
-
Lugha na Sarufi
Aina za sentensi za Kiswahili.
Sentensi huainishwa kuzingatia vigezo mbalimbali.Hapa tutaangazia aina za sentensi kimuundo kama ifuatavyo: 1.Sentensi sahili-Hii ndio sentensi ya kimsingi katika lugha…
Read More » -
Ngeli za kiswahili
Ngeli ya A-WA na muundo wake.
Ngeli hii hutumika sana kwa vitu vilivyo hai mathalan wadudu,wanyama,ndege, binadamu n.k Ikumbukwe kuwa tunapozungumzia binadamu,tusisahau kuwa atapoaga hivyo kuwa…
Read More » -
Konsonanti.
Hii ni aina ya sauti katika lugha ambayo wakati wa utamkaji hewa huzuiliwa katika sehemu mbalimbali kinywani au pia hewa…
Read More » -
Lugha na Sarufi
Miundo Ya Silabi Za Kiswahili.
Kuna miundo mbalimbali za silabi za kama ifuatavyo. 1.Silabi za Irabu pekee k.v katika maneno kama vile oa na ua.…
Read More » -
Lugha na Sarufi
Aina Za Silabi.
Silabi ni mpigo mmoja wa sauti.Kuna aina mbili kuu za silabi katika lugha ya Kiswahili. Aina ya kwanza huitwa silabi…
Read More » -
Lugha na Sarufi
Tofauti kati ya Fonolojia na Fonetiki.
Licha ya kwamba taaluma ya fonolojia na fonetiki hukaribiana sana, kutegemeana na kukamilishana kwa kuwa zote huchunguza sauti, kuna tofauti…
Read More » -
Dhana ya Fonolojia.
Fonolojia ni taaluma inayoshughulikia uchambuzi wa mfumo wa sauti zinazotumika katika lugha fulani mahususi.Kiwango hiki cha lugha huchunguza uamilifu wa…
Read More » -
Lugha na Sarufi
Sifa za lugha.
1.Lugha hufuata mpangilio wa vipashio unaleta maana hasa inayofahamika na watumiaji wa lugha husika.Hii ni muhimu ili sentensi yoyote ile…
Read More » -
Fasihi
JINSI FASIHI SIMULIZI ILIYOCHANGIA UKUAJI WA FASIHI ANDISHI.
Fasihi simulizi imechangia pakubwa kukomaa kwa fasihi Andishi kwa njia zifuatazo. 1.Nyenzo-Fasihi Andishi na Fasihi simulizi zinatumia lugha kama njia…
Read More » -
FASIHI.
Fasihi ni sanaa iwe ya uandishi au mdomo inayowasilisha ujumbe unaolenga maisha ya binadamu Kiufundi kwa kutumia mbinu anuwai za…
Read More »